Thursday, December 5, 2013

BREAKING NEWS:MTAA WAFUNGWA, SOMA HAPA KUJUA SABABU NI NINI

Kundi la muziki kutoka nyanda za juu kusini linaloudwa na lucky junior ,samaiko ,leby cute,etco the best siku ya leo mda mfupi uliopita wameifunga mitaa  ya Mwanjelwa katika maeneo ya maduka makubwa ya nguo magari yameshindwa kupita wala pikipiki walipokuwa wakienda kununua viwalo kwa ajiri ya ngoma yao mpya iitwayo fine. Ikumbukwe kwamba Afro Magic ndo wale vijana waliofanya hit ya Mihogo tupogo rmx ilikuwa ni full patashika maana wananchi walijazana kuwa tazama na wengine walisikika wakisema tuimbie kidogo  kwa kweli vijana hawa n kiboko atakama wanasema nabii hakubariki kwao hii imekuwa tofauti maana wananchi walifwata vijana hawa kila sehemu ili wapate kusikia wakiimba