Thursday, July 24, 2014

Kuhusu Mjane aliyefukuzwa nyumbani baada ya mazishi ya mumewe

hkhhkKutoka kwenye Idara ya Hekaheka ina taarifa ya mjane aliyefukuzwa nyumbani kwa mumewe na ndugu wa marehemu zikiwa siku tatu baada ya mazishi ya mume wake,kanyang’anywa vitu kadhaa ikiwemo hati za nyumba na baadhi ya mali alizokuwa akimiliki na mumewe.