skip to main |
skip to sidebar
Kuhusu Mjane aliyefukuzwa nyumbani baada ya mazishi ya mumewe
Kutoka
kwenye Idara ya Hekaheka ina taarifa ya mjane aliyefukuzwa nyumbani kwa
mumewe na ndugu wa marehemu zikiwa siku tatu baada ya mazishi ya mume
wake,kanyang’anywa vitu kadhaa ikiwemo hati za nyumba na baadhi ya mali
alizokuwa akimiliki na mumewe.