Thursday, July 24, 2014

Uliiona hii ya Joti baada ya Mkwe kumkatalia kuoa binti yake?

comedyJina lake lenye herufi nne ni miongoni mwa majina makubwa kwenye uigizaji wa vichekesho nchini Tanzania akiwa anatoka kwenye kundi la Orijino Komedi.
Tazama alichofanya hapa chini baada ya kukataliwa kumuoa binti aliemzimia.

Unavyomfahamu Joti, hiki kichekesho unakipa namba ngapi kwako toka umeanza kutazama vichekesho vyake mtu wangu?

 https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=WOGgng2ZDR0